NDAKIDEMI AKIWA NA WABUNGE NA MAKADA WENGINE KUWALAKI VIONGOZI WA CCM TAIFA

 NDAKIDEMI AKIWA NA WABUNGE NA MAKADA WENGINE KUWALAKI VIONGOZI WA CCM TAIFA


KARIBUNI SANA VIONGOZI WETU 


NA Gift Mongi

Moshi



VIONGOZI wa Chama cha Mapinduzi kutoka wilaya ya Moshi vijijini wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya, Siril Mushi wakiwa pamoja na Mbunge wa Jimbo la Moshi vijijini, Prof. Patrick Ndakidemi, Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei katika viwanja vya ccm mkoa wakimsubiria Katibu Mkuu wa CCM Balozi Emmanuel Nchimbi, Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla

0 Comments:

Post a Comment