Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula kwa mwenyeji wake Rais Yoweri Museveni wa Uganda alipowasili Ikulu ya Entebbe leo.```
NSSF YAPOKEA TUZO YA SHUKRANI SHEREHE ZA MEI MOSI 2026
-
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba, akipokea tuzo kutoka kwa Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuzo
hiyo ...
7 minutes ago


Safi Sana
ReplyDelete