Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula kwa mwenyeji wake Rais Yoweri Museveni wa Uganda alipowasili Ikulu ya Entebbe leo.```
RAIS DKT. MWINYI AJUMUIKA KATIKA MAZISHI YA MSANII MKONGWE, MAREHEMU MZEE
ONYANGO
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, leo tarehe 13 Juni 2026, amejumuika na wanafamilia, ndugu,
jamaa, ...
36 minutes ago


Safi Sana
ReplyDelete