BAHI WALIVYOUZUIA MSAFARA WA LISSU


 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema,  Tundu Lissu akizungumza na wananchi wa Bahi waliosimama barabarani kuzuia msafara wake uliokuwa njiani kuelekea Manyoni kuendelea na mikutano ya kampeni, ikiwa ni siku ya kwanza baada ya zuio la kampeni zake kwa muda wa siku 7.



0 Comments:

Post a Comment