Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Emmanuel John Nchimbi akisalimiana na kuteta jambo na Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Kalikawe Lwakalinda Bagonza, baada ya ibada ya kuwekwa wakfu (kukaribishwa kazini) Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa kuwa Mkuu Mpya wa KKKT, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan alikuwa mgeni maalum, iliyofanyika Jumapili, Januari 21, 2023, katika Kanisa la Azania Front, jijini Dar Es Salaam.
Biashara : Taasisi za Kifedha za Ndani Zinafaa Kuimarisha Ushirikiano na
Serikali katika Miradi ya Maendeleo - Rais Dkt. Mwinyi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.
Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza kuwa bado kuna fursa nyingi kwa taasisi za
kifedha...
9 hours ago

.jpeg)
0 Comments:
Post a Comment