DKT. MPANGO AFUNGUA RASMI MAONESHO YA NANENANE*

MAKAMU wa Rais, wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, leo Agosti 1, 2022 amefungua rasmi maonesho ya Nanenane 2022 ambayo kitaifa yanayofanyika katika Uwanja wa John Mwakangale mkoani Mbeya.

Kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dkt. Rashid Chuachua na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe. Kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi Fredy Mwakibete, Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu na Naibu Waziri wa Kilimo  Anthony Mavunde.






0 Comments:

Post a Comment