Kutoka Chato mkoani Geita kwenye ibada maalum ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Tayari wananchi wameshawasili katika uwanja wa Magufuli ambapo shughuli za ibada zitafanyika.
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
-
Watu wanne wamekamatwa na madini ya vito katika mtaa wa Togo, Wilaya ya
Ulanga mkoani Morogoro, kufuatia operesheni maalum iliyofanywa na Ofisi ya
Afisa ...
27 minutes ago







0 Comments:
Post a Comment