Jisomee mwenyewe...Wakati wagonjwa pale Muhimbili, Ocean Road na hospitali nyingine nyingi wanataabika kupata matibabu na dawa kuadimika kwa sababu Serikali haijalipa fedha kama inavyotakiwa kwa MSD, kuna mabilioni yako wazi yanatakiwa kutumika kuokoa CCM na anguko la Katiba Mpya.Soma kwa makini uone fikra za watawala wetu zilipofikia. Wanasema kura ya HAPANA eti itakuwa ni aibu na tahayari kwa Serikali kwa sababu eti Katiba inayopendekezwa ni ya Serikali.
Nyaraka hii imenaswa na 'kumwagwa' hadharani na viongozi wakuu wa UKAWA, walipokutana na waandishi wa habari leo Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha CUF.
Mageuzi ya biashara ya mazao nchini yaendelea kushuhudiwa kupitia
ushirikiano kati ya COPRA na Bodi ya Stakabadhi za Ghala (WRRB).
-
Mageuzi ya biashara ya mazao nchini yanaendelea kushuhudiwa kupitia
ushirikiano kati ya COPRA na Bodi ya Stakabadhi za Ghala (WRRB).
Akizungumza katika ...
21 hours ago
0 Comments:
Post a Comment