Jisomee mwenyewe...Wakati wagonjwa pale Muhimbili, Ocean Road na hospitali nyingine nyingi wanataabika kupata matibabu na dawa kuadimika kwa sababu Serikali haijalipa fedha kama inavyotakiwa kwa MSD, kuna mabilioni yako wazi yanatakiwa kutumika kuokoa CCM na anguko la Katiba Mpya.Soma kwa makini uone fikra za watawala wetu zilipofikia. Wanasema kura ya HAPANA eti itakuwa ni aibu na tahayari kwa Serikali kwa sababu eti Katiba inayopendekezwa ni ya Serikali.
Nyaraka hii imenaswa na 'kumwagwa' hadharani na viongozi wakuu wa UKAWA, walipokutana na waandishi wa habari leo Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha CUF.
TRA PWANI YAKAMATA BIDHAA ZA MAGENDO BANDARI YA BAGAMOYO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imekamata bidhaa mbalimbali
za magendo katika Wilaya ya Bagamoyo ikiwemo viroba 50 vya mchele, madumu
10 ya ...
6 hours ago
0 Comments:
Post a Comment