Gonga hapa kufatilia
Katibu Mkuu Dk. Slaa ndiyo anaingia hapa. Kuashiria kuwa shughuli inakwenda kuanza punde.
Mikoa inaendelea kupangwa hapa...ili wajumbe wakae kwa kufuata mikoa.
Live imeshaanza wakati wa hotuba ya ufunguzi inasomwa na Mkiti wa Baraza Mzee Nyangaki Shilingushela.
RAIS DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI DODOMA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na wananchi wa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma ...
14 hours ago
