Gonga hapa kufatilia
Katibu Mkuu Dk. Slaa ndiyo anaingia hapa. Kuashiria kuwa shughuli inakwenda kuanza punde.
Mikoa inaendelea kupangwa hapa...ili wajumbe wakae kwa kufuata mikoa.
Live imeshaanza wakati wa hotuba ya ufunguzi inasomwa na Mkiti wa Baraza Mzee Nyangaki Shilingushela.
RUWASA GEITA DC YAFANYA MKUTANO WA NUSU MWAKA NA CBWSO
-
Jumla ya shilingi milioni 40 hukusanywa Kila mwezi kutoka kwa jumuiya za
watoa huduma za maji ngazi ya jamii (CBWSO) katika wilaya ya Geita.
Hayo yamesem...
2 hours ago
