Gonga hapa kufatilia
Katibu Mkuu Dk. Slaa ndiyo anaingia hapa. Kuashiria kuwa shughuli inakwenda kuanza punde.
Mikoa inaendelea kupangwa hapa...ili wajumbe wakae kwa kufuata mikoa.
Live imeshaanza wakati wa hotuba ya ufunguzi inasomwa na Mkiti wa Baraza Mzee Nyangaki Shilingushela.
BUNGE LA 13 LAUNDA KAMATI 17, UPINZANI WAPENYA HUKU WANAWAKE WAKIWA WENGI
ZAIDI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Bunge la 13 limeunda jumla ya Kamati 17 huku wanawake wengi wakichomoza
kuongoza kamati hizo, Wabunge wa upinzani wa ...
3 hours ago
