No shehe Semtawa wa gazeti la Tz Daima ni baada ya kuwapiga picha
askari wa usalama barabarani wakati walipokamata gari la abiria
na kuwaamuru abiria washuke
Tukio hilo limetokea leo saa 11 jioni katika eneo la kimara na kwa
sasa anaendelea kuhojiwa, huku kukiwa na ubishani mkali muda huu kwa
askari kutaka aandike kile wanachotaka wao ikiwamo dhana wanayoijua
wao. Pia wameamua kuchukua muda mrefu kwenye mahojiano hayo na
ikiwezekana wamlaze ndani.
Kamera aliyopigia picha imechukuliwa na picha alizopiga zimefutwa na Polisi.
Msajili wa Hazina aikaribisha Jeune Afrique Media Group kuangazia fursa za
uwekezaji
-
Dar es Salaam. Leo, Februari 9, 2026, Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah
Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Bw.Frederic Van de vyver Mkuu
wa Jeune Af...
1 hour ago
0 Comments:
Post a Comment