Watu 16 wamefariki dunia papo hapo na wengine 75 wamejeruhiwa baada ya
basi la AM linalofanya safari Mwanza-Mpanda kugongana na basi lingine
la Sabena linalofanya safari zake Mbeya - Tabora, ajali imetokea
katika eneo la Mlogoro ,Sikonge- Tabora..Habari zaidi na picha
tutawaletea punde...
PIGABET YAZINDUA KAMPENI YA “SHINDA BODA”, WACHEZAJI WAPATA NAFASI YA KUWA
MABOSI WAO
-
Dar es Salaam, Februari 10, 2026: Katika hatua inayoonesha mwelekeo mpya wa
michezo ya kubahatisha nchini, PigaBet imezindua kampeni ya “SHINDA BODA”
ina...
49 minutes ago