Mwili wa Hayati Mheshimiwa Cleopa David Msuya, aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu mstaafu, umewasili nyumbani kwake Upanga, jijini Dar es Salaam leo Mei 10, 2025.
Mwili wa Hayati Mheshimiwa Cleopa David Msuya, aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu mstaafu, umewasili nyumbani kwake Upanga, jijini Dar es Salaam leo Mei 10, 2025.
Designed by Arusha Publicity | Developed by Gadiola Emanuel
0 Comments:
Post a Comment