.jpeg)
x
x
Na Gift Mongi,
Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini Profesa Patrick Ndakidemi leo tarehe 07.05.2024 aliuliza swali la nyongeza bungeni kama ifuatavyo:*
*Watoto wenye ulemavu ni wengi nchini. Je? Serikali ina mkakati gani wa kuwatambua huko vijijini, wilayani na mikoani ili waweze kupatiwa huduma stahiki?
Kutokana na swali hilo majibuyakatoka serikali kupitia Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu Mh. Patrobas Katambi
MBUNGE DKT. NEEMA MAJULE AIOMBA WIZARA YA MAJI KUONGEZA UTAFITI WA VYANZO
VYA MAJI
-
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Dkt. Neema Majule, amesema Bajeti ya
Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2026/2027 inapaswa kuelekeza nguvu zaidi
kat...
43 minutes ago
0 Comments:
Post a Comment