.jpeg)
x
x
Na Gift Mongi,
Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini Profesa Patrick Ndakidemi leo tarehe 07.05.2024 aliuliza swali la nyongeza bungeni kama ifuatavyo:*
*Watoto wenye ulemavu ni wengi nchini. Je? Serikali ina mkakati gani wa kuwatambua huko vijijini, wilayani na mikoani ili waweze kupatiwa huduma stahiki?
Kutokana na swali hilo majibuyakatoka serikali kupitia Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu Mh. Patrobas Katambi
KITUO CHA UMAHILI MLOGANZILA KUIMARISHA HUDUMA ZA MOYO, KINYWA NA MENO
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
UJENZI wa kitengo cha kutoa huduma za kinywa na meno katika Chuo Kikuu cha
Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kamp...
4 hours ago
0 Comments:
Post a Comment