.jpeg)
x
x
Na Gift Mongi,
Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini Profesa Patrick Ndakidemi leo tarehe 07.05.2024 aliuliza swali la nyongeza bungeni kama ifuatavyo:*
*Watoto wenye ulemavu ni wengi nchini. Je? Serikali ina mkakati gani wa kuwatambua huko vijijini, wilayani na mikoani ili waweze kupatiwa huduma stahiki?
Kutokana na swali hilo majibuyakatoka serikali kupitia Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu Mh. Patrobas Katambi
KARDINALI PENGO AFARIKI DUNIA
-
Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Polycarp
Kardinali Pengo amefariki dunia katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete
(JKCI), ji...
1 hour ago
0 Comments:
Post a Comment