WAZIRI wa Afya Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui, akitoa akitoa maelezo wakati akimkaribisha mgeni rasmi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, leo Julai 13, 2022 kwenye ufunguzi wa Kongamano la Pili la Kumbukizi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin Mkapa. Hafla imefanyika Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.
IFIKAPO 2030 KOROSHO ZOTE ZITABANGULIWA NCHINI - BASHE
-
Na MWANDISHI WETU,
WAZIRI WA KILIMO Mhe. Hussein Bashe, (Mb) amesema ujenzi wa Kongani ya
Viwanda Maranje Newala mkoani Mtwara unalenga kuhakikisha ifik...
2 hours ago
0 Comments:
Post a Comment