WAZIRI wa Afya Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui, akitoa akitoa maelezo wakati akimkaribisha mgeni rasmi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, leo Julai 13, 2022 kwenye ufunguzi wa Kongamano la Pili la Kumbukizi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin Mkapa. Hafla imefanyika Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.
KATIBU MKUU MIGIRO AWASILISHA SALAAM ZA DKT. SAMIA KWA RAIS WA SAHRAWI
-
Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Rais wa
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara (SADR), Mhe. Brahim Ghali.
Katika mazun...
2 hours ago

0 Comments:
Post a Comment