YANAYOJIRI KONGAMANO LA KUMBUKIZI YA MKAPA


WAZIRI wa Afya Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui, akitoa  akitoa maelezo wakati akimkaribisha mgeni rasmi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, leo Julai 13, 2022 kwenye ufunguzi wa Kongamano la Pili la Kumbukizi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu,  Hayati Benjamin Mkapa. Hafla imefanyika Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.

0 Comments:

Post a Comment