SSH AZURU KABURI LA JPM




 Rais, Samia Suluhu Hassan, akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Hayati, Dkt. John Pombe Magufuli wakati alipozuru Kaburi hilo leo Oktoba 14, 2021. Alikuaa njiani akielekea katika Uwanja wa Magufuli Wilayani Chato Mkoani Geita kwa ajili ya kushiriki katika kilele cha mbio maalum cha Mwenge wa Uhuru.

0 Comments:

Post a Comment