MWENYEKITI wa Baraza la Mawaziri wa Afrika Mashariki, Adan Mohamed, (Kenya) leo April 23, 2021 akiongoza kikao cha makabidhiano ya kiofisi baina ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, (EAC) aliyemaliza muda wake, Balozi, Liberatus Mfumukeko, (Burundi) na Peter Mathuki, (Kenya) anayechukua nafasi hiyo wengine ni maafisa waandamizi wa makao makuu ya EAC
SERIKALI YATAKIWA KUBORESHA KANUNI ZA MAUDHUI MTANDAONI
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeiomba Serikali kufanya
marekebisho ya haraka ya kanuni zinazosimamia maudhui m...
1 hour ago


0 Comments:
Post a Comment