RAS ARUSHA AFA AJALINI

Aliyekuwa Ras mkoani Arusha, Richard Kwitega enzi za uhai wake



 KATIBU Tawala Mkoa wa Arusha Ndugu Richard Kwitega amefariki dunia kwenye ajali iliyotokea Magugu akielekea Dodoma kikazi.

Aliyekuwa Ras mkoani Arusha, Kwitega enzi za uhai wake


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Kimanta amethibitisha kutokea kwa kifo hicho Cha Katibu Tawala Richard Kwitega.

0 Comments:

Post a Comment