Ukiingia uwanja wa uhuru muda huu Maandalizi ya Tamasha la Serengeti Festival yamekamilika kwa 100%. Kiingilio cha Tsh 5000 tu unapata burudani toka kwa wasanii zaidi ya 60 wakiwemo wa zamani na wa sasa. Ni kuanzia saa 8:00 mchana.
SERIKALI, MATI FOUNDATION YAMFUNGULIA FURSA MPYA BINTI MWENYE ULEMAVU
HANANG’
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara*
*Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amekabidhi pikipiki ya umeme
ya magurudumu matatu iliyotolewa na Mati Foundatio...
1 hour ago








0 Comments:
Post a Comment