BURUDANI: Nyimbo 5 Bora za Tanzania zinazovuma YouTube

Katika chart ya wiki hii hakuna mabadiliko katika nafasi mbili za mwanzo kwani wiki iliyopita Alikiba na Diamond/WCB walikuwa katika nafasi hizo. Video zilizoingia ni Dogo Janja – Ngarenaro na  Aslay – Pusha.
  1. Alikiba – Seduce Me ( katika trending ya Tanzania ni namba moja) wiki iliyopita ilikuwa katika nafasi hii pia.

2. Diamond, Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny, Queen Darleen – Zilipendwa (katika trending ya Tanzania ni namba mbili) wiki iliyopita ilikuwa katika nafasi hii pia.

3. Dogo Janja – Ngarenaro (katika trending ya Tanzania ni namba 6)  wiki iliyopita nafasi hii ilishikiliwa na Jux – Utaniua.

4. Jux – Utaniua (katika trending ya Tanzania ni namba 9) wiki iliyopita nafasi hii ilishikiliwa na Rostam (Roma & Stamina) – Hivi Ama Vile.

5. Aslay – Pusha (katika trending ya Tanzania ni namba 11) wiki iliyopita nafasi hii ilishikiliwa na Lava Lava – Dede.



0 Comments:

Post a Comment