Ni taarifa ya Ethiopia ambayo imeeleza kutajwa nchi ambazo uchumi wake umepanda haraka mwaka 2017 list hii inaongozwa na Ethiopia inakamata nafasi ya kwanza ambapo uchumi wake umekua kwa 8.3% huku Tanzania ikitajwa miongoni mwa nchi 10 ikikamata nafasi ya 5 uchumi wake ukikua kwa 7.2% huku uchumi wa Djibouti ukikua kwa 7% licha ya kukabiliwa na ukame mkubwa.
DKT AKWILAPO ASHIRIKI HARAMBEE YA UJENZI WA NYUMBA ZA WALIMU KONDOA, AAHIDI
USHIRIKIANO NA TAASISI ZA KIDINI
-
*Na** Mwandishi Wetu, Kondoa*
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo,
amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu ...
3 hours ago

0 Comments:
Post a Comment