UPDATES: Bado dakika 15 tu! Dimbani hadi sasa Simba 1- 1 Mbao


Kutoka mjini Dodoma bado hali ni tete Simba 1 Mbao 1 huku Dimba wakipata mashambulizi makali kutoka mbao Fc. Nani atashinda endelea kubaki nami nikujuze kinachoendelea Dodoma Moira dakika 90.  Endelea kubaki nami

0 Comments:

Post a Comment