List nzima ya wasanii wanaoburudisha leo ipo hapa , Mwaka jana Tanzania iliwakilishwa na staa anayegfanya vizuri afrika kwa sasa Mkali wa 'Marry You' Diamond Platnumz . Macho ya watanzania yapo kwa msanii Ali Kiba ambaye mwaka huu ni zamu yake kuiwakilisha taifa la Tanzania.
Banky W, Cassper Nyovest, Falz walipofika London For One Africa Music Fest |
0 Comments:
Post a Comment