Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limesema watoto zaidi ya milioni 25 wenye umri kati ya miaka 6 hadi 15, ambao ni asilimia 22 ya watoto wa rika hilo kote duniani, wameacha shule kwenye maeneo yenye mapigano katika nchi 22, zikiongozwa na Sudan Kusini, Chad na Afghanistan. Ripoti ya UNICEF inasema, nchi hizo tatu pia zina idadi kubwa ya watoto wa kike ambao wameacha shule.

SERIKALI YAIPONGEZA GGML KWA MCHANGO WAKE WA MIAKA 25 KATIKA SEKTA YA
MADINI NCHINI TANZANIA
-
Mheshimiwa Dkt. Steven L. Kiruswa, Naibu Waziri wa Madini, akipokea kitabu
cha kumbukumbu (legacy book) kilichoandaliwa kuadhimisha miaka 25 ya Geita
Gold...
1 hour ago
0 Comments:
Post a Comment