Kikundi cha ngoma ya kibati kikitumbuiza Uwanja wa Ndege wa Pemba wakati wa
mapokezi ya viongozi wa kitaifa wa CHADEMA waliofanya ziara ya siku moja
kisiwani humo kwa lengo la kumtambulisha Naibu Katibu Mkuu wa Chama
Zanzibar, Salum Mwalimu.
Mageuzi ya biashara ya mazao nchini yaendelea kushuhudiwa kupitia
ushirikiano kati ya COPRA na Bodi ya Stakabadhi za Ghala (WRRB).
-
Mageuzi ya biashara ya mazao nchini yanaendelea kushuhudiwa kupitia
ushirikiano kati ya COPRA na Bodi ya Stakabadhi za Ghala (WRRB).
Akizungumza katika ...
19 hours ago
0 Comments:
Post a Comment