Kikundi cha ngoma ya kibati kikitumbuiza Uwanja wa Ndege wa Pemba wakati wa
mapokezi ya viongozi wa kitaifa wa CHADEMA waliofanya ziara ya siku moja
kisiwani humo kwa lengo la kumtambulisha Naibu Katibu Mkuu wa Chama
Zanzibar, Salum Mwalimu.
KUJENGA UTAALAMU: TAEC YAWAFUNDISHA WATAALAMU 50 KUHUSU USALAMA WA MIONZI
KATIKA SEKTA YA AFYA
-
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imefanikisha kuendesha mafunzo ya
kitaifa ya siku nne kuhusu usalama wa mionzi ya mashine za X-Ray na vyanzo
vingin...
8 hours ago
0 Comments:
Post a Comment