Shamra shamra za Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu.

Kikundi cha ngoma ya kibati kikitumbuiza Uwanja wa Ndege wa Pemba wakati wa
mapokezi ya viongozi wa kitaifa wa CHADEMA waliofanya ziara ya siku moja
kisiwani humo kwa lengo la kumtambulisha Naibu Katibu Mkuu wa Chama
Zanzibar, Salum Mwalimu.

0 Comments:

Post a Comment