Kikundi cha ngoma ya kibati kikitumbuiza Uwanja wa Ndege wa Pemba wakati wa
mapokezi ya viongozi wa kitaifa wa CHADEMA waliofanya ziara ya siku moja
kisiwani humo kwa lengo la kumtambulisha Naibu Katibu Mkuu wa Chama
Zanzibar, Salum Mwalimu.
UDSM: WANAFUNZI WA UANDISHI WA HABARI WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA ITHIBATI NA
SHERIA
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula, amewahimiza wana...
1 hour ago
0 Comments:
Post a Comment