Gari Ndogo imengia uvunguni mwa basi la Happy Nation maeneo ya Hedaru na watu wote waliokuwepo kwenye gari ndogo wamepoteza maisha...
Uchunguzi wa awali unaonyesha utelezi ndiyo imeleta yote hayo! Marehemu wapumzike kwa Amani
CHANGAMOTO YA USAFIRI WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KUPUNGUA
-
Na *Munir Shemweta, WANMM*
Changamoto ya usafiri inayowakabili watumishi wa wizara ya ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi sasa inaenda kupungua kufua...
1 hour ago
0 Comments:
Post a Comment