Gari Ndogo imengia uvunguni mwa basi la Happy Nation maeneo ya Hedaru na watu wote waliokuwepo kwenye gari ndogo wamepoteza maisha...
Uchunguzi wa awali unaonyesha utelezi ndiyo imeleta yote hayo! Marehemu wapumzike kwa Amani
UDSM: WANAFUNZI WA UANDISHI WA HABARI WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA ITHIBATI NA
SHERIA
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula, amewahimiza wana...
3 hours ago

0 Comments:
Post a Comment