Gari Ndogo imengia uvunguni mwa basi la Happy Nation maeneo ya Hedaru na watu wote waliokuwepo kwenye gari ndogo wamepoteza maisha...
Uchunguzi wa awali unaonyesha utelezi ndiyo imeleta yote hayo! Marehemu wapumzike kwa Amani
TPSC YAPIGA HATUA KUBWA KATIKA KUFANYA TAFITI TUMIZI ZA KUBORESHA UTENDAJI
WA SERIKALI
-
Dar es Salaam, Julai 3, 2026
Serikali imekipongeza Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kwa
mafanikio makubwa ya kupanua huduma zake nchini, hatua ...
9 minutes ago

0 Comments:
Post a Comment