Gari Ndogo imengia uvunguni mwa basi la Happy Nation maeneo ya Hedaru na watu wote waliokuwepo kwenye gari ndogo wamepoteza maisha...
Uchunguzi wa awali unaonyesha utelezi ndiyo imeleta yote hayo! Marehemu wapumzike kwa Amani
KATIBU MKUU TRAMEPRO,CHIFU MSANGIA MKOA WA MARA WAJADILI MAENDELEO RORYA
-
Na Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira
Tanzania(TRAMEPRO) Boniventura Mwalongo amekutana na kufanya mazungumzo na...
11 hours ago

0 Comments:
Post a Comment