>
> MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema, (CHADEMA), jana akiongea na
> waandishi wa habari maeneo ya Philips akielezea sababu za wao
> kutoandamana ambapo kwa nyuma yake wanaonekana askari wa kutuliza
> ghasia, FFU wakiendelea kudhibiti eneo hilo wakiwa na gari lao la maji
> ya kuwasha. (picha na Grace Macha).
GGM yaahidi kuendelea kusaidia watoto wenye magonjwa ya moyo JKCI
-
Na Mwandishi Wetu
TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), inahitaji shilingi bilioni 1.6
kwaajili ya kuwafanyia upasuaji wa moyo watoto 420 wanaougua mar...
27 minutes ago

0 Comments:
Post a Comment