>
> MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema, (CHADEMA), jana akiongea na
> waandishi wa habari maeneo ya Philips akielezea sababu za wao
> kutoandamana ambapo kwa nyuma yake wanaonekana askari wa kutuliza
> ghasia, FFU wakiendelea kudhibiti eneo hilo wakiwa na gari lao la maji
> ya kuwasha. (picha na Grace Macha).
RUTO ATOA WITO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI,ASEMA MIPAKA ISIWE KIKWAZO:
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Bungeni Dodoma
Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito mzito kwa nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki kuharakish...
9 hours ago

0 Comments:
Post a Comment