Rose kamili akiwa kituo cha polisi
Taarifa zilizonifikia ni kwamba Rose kamili baada ya kutekwa na taarifa kuwafikia vijana wa chadema na kuanza kufukuzana green guard wakapiga simu kuwa kuna mtu wamemkamata akigawa rushwandipo polisi walipo wahi eneo la tukio na kumchukua Rose kamili..
RC SENDIGA ATOA ONYO KWA WANAWAKE VIONGOZI: ‘TUKIRUDI NYUMBANI SISI NI WAKE’
-
*Manyara — Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Cuthbert Sendiga, amewataka
wanawake wakiwemo viongozi kutambua na kuheshimu nafasi zao ndani ya ndoa,
akisi...
5 hours ago

0 Comments:
Post a Comment