Dodoma, 27 Juni 2025 – Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. John Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwandishi mkongwe na Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Ndugu Absalom Kibanda, katika ofisi za Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma.
WAHADHIRI WA UDSM WAPONGEZWA KUTUNUKIWA SHAHADA ZA UZAMIVU ZA UANDISHI WA
HABARI
-
* Na Mwandishi Wetu*
*DAR ES SALAAM — Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dkt.
Dotto Kuhenga, amewapongeza Dkt. Frank Sanga na Dkt. Alex Ben...
3 hours ago




0 Comments:
Post a Comment