Dodoma, 27 Juni 2025 – Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. John Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwandishi mkongwe na Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Ndugu Absalom Kibanda, katika ofisi za Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma.
WADAU NA TAASISI ZA FEDHA ZA DUNIANI WAONESHA UTAYARI WA KUSHIRIKIANA NA
TANZANIA KUKUZA SEKTA YA MADINI
-
▪️Benki ya Dunia yafurahishwa na mchango wa Sekta ya Madini wa kuchochea
Uchumi Tanzania
📍 Cape town – Afrika Kusini
Sekta ya Madini Tanzania kupitia ...
17 minutes ago




0 Comments:
Post a Comment