Dodoma, 27 Juni 2025 – Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. John Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwandishi mkongwe na Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Ndugu Absalom Kibanda, katika ofisi za Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma.
CAMARTEC YABUNI TEKNOLOJIA MPYA KUINUA SEKTA YA KILIMO NA UFUGAJI
-
Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC) kimeanzisha
mbinu mpya za mafunzo kwa wakulima kuhusu usindikaji wa mazao, ikiwemo
mwani korosho...
58 minutes ago




0 Comments:
Post a Comment