Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amefika nyumbani kwa Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Ngoyai Lowassa, aliyefariki dunia februari 10, 2024, kwa ajili ya kutoa salamu za pole kwa na kusaini kitabu cha maombolezo.
Serikali yaipongeza Green Acres kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma
-
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imeipongeza shule ya msingi na sekondari, Green Acres ya jijini
Dar es Salaam kwa namna ambavyo imekuwa ikifanya vizuri kat...
1 hour ago
0 Comments:
Post a Comment