MPANGO ASAINI KITABU MAOMBOLEZO YA LOWASSA

 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Philip Mpango, amefika nyumbani kwa Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Ngoyai Lowassa, aliyefariki dunia februari 10, 2024, kwa ajili ya kutoa salamu za pole kwa na kusaini kitabu cha maombolezo.


0 Comments:

Post a Comment