MAJALIWA ATAKA WANANCHI WACHUKUE TAHADHARI KUKABILIANA NA CORONA




 WAZIRI Mkuu ,  Kassim Majaliwa leo tarehe 20 Februari, 2021 ameongoza mamia ya waombolezaji kwenye maziko ya aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi, Mhandisi, John William Kijazi yaliyofanyika kwenye makaburi yaliyoko katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Augustino Manundu Korogwe, Tanga.




0 Comments:

Post a Comment