Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu akiwa na kijana aliyempatia zawadi ya picha yake aliyoichora . Kijana huyo ambaye jina lake halikuweza kupatikama mara moja alikabidhi picha hiyo leo maeneo ya Nzega ndogo wakati yeye na wananchi wengine walipozuia msafara wa Lissu
KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAISIFU DMI KWA KUZALISHA WATAALAMU WA SEKTA
YA BAHARI
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu tarehe 14 Februari 2026
imetembelea Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kwa ziara ya kikazi yenye
lengo la ku...
1 hour ago

0 Comments:
Post a Comment