Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania jana tarehe 14.7.2017 limetoa tuzo maalum kwa Dk. Jane Goodall kutoka na mchango wake mkubwa katika eneo la utafiti wa sokwe hususan katika Hifadhi ya Taifa ya Gombe.
Tuzo hiyo inayofahamika kama Sokwe Conservation Award imekabidhiwa kwake na Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe aliyekuwa mgeni rasmi katika tukio hilo.
-
Zikiwa zimesalia siku 29 kufikia Tanzania iingie kwenye Uchaguzi wa
Rais,wabunge na nafiwanMkuu wa mwkaa 2020 Time ya Uchaguzi umekutana na
wadau wa mbalim...
0 Comments:
Post a Comment