VIDEO: Katibu wa wazazi wa watoto waliofariki katika Ajali ya Lucky Vicent Rowland Malyambi akiwashukuru Rais JPM, DC Karatu na RC Gambo

Bw. Rowland Ametoa shukrani hizo akitoa risala kwa niaba ya wazazi wote waliohusishwa na msiba wa vifo vya wanafunzi waliopata ajali huko wilayani Karatu.

Play Video ya VOA TV Hapa chini

0 Comments:

Post a Comment