Siku chache zilizo pita HABARI TANZANIA GRACE MACHA Tulikutaarifu kuhusu mtu mwenye umri mkubwa zaidi duniani ambaye anaishi Tanzania huko Songwe sasa habari hii imezaa matunda mtu wangu ni kwamba Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Galawa amemkabidhi mzee huyo Wheel Chair pamoja na Bima za Afya yeye na mke wake.
WENYEVITI WA BODI /BODI ZA SEKTA YA UCHUKUZI SIMAMIENI MIRADI NA
KUHAKIKISHA INAKAMILIKA KWA MUDA NA KWA UBORA UNAOSTAHILI.
-
Na. Vero Ignatus, Arusha
Serikali imesema kuwa idadi ya mizigo inayopita Bandari ya Dar -es -salaam
kwenda nchi nyingine imeongezeka kutoka tani Million 5....
1 hour ago
0 Comments:
Post a Comment