HABARI: Uturuki kufungua Kambi ya Jeshi Somalia

Uturuki kufungua kambi ya jeshi Somalia mwezi SeptembaAkiongea katika mkutano wa Somalia jijini London waziri mkuu wa Uturuki Binali Yıldırım afahamisha kuwa katika mapambano dhidi ya wanamgambo wa Al Shabaab  imeunda kambi katika nchi ya Somalia .
.Kambi hiyo itafunguliwa rasmi mwezi Septemba .

0 Comments:

Post a Comment