Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, akimnadi mgombea udiwa wa Kata
ya Kasanga kupitia chama hicho, Festo Katoato, wakati wa mkutano wa
hadhara wa Oparesheni M4C Pamoja Daima, uliofanyika katika kijiji cha
Kasanga mkoani Rukwa jana.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleeo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa
akinadi mgombea udiwani wa Kata ya Santilia mkoani jimbo la Mbeya
Vijijini, Elisha Mwandele wakati na mkutano wa hadhara wa Oporesheni M4C
Pamoja Daima jana.
Katibu Mkuu wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa akiagana
na wanachi wa kijiji cha Santilia, jimbo la Mbeya Vijijini baada ya
mkutano wa hadhara wa Oporesheni M4C Pamoja Daima jana.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa
akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kasanga mkoani Rukwa, katika mkutano
wa hadhara wa Oporesheni M4C Pamoja Daima jana.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa
akiwahutubia wananchi wa mji wa Sumgawanga, katika mkutano wa hadhara
wa Oparesheni M4C Pamoja Daima jana.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa
akiwahutubia wananchi wa mji wa Vwawa wilaya ya Mbozi, katika mkutano
wa hadhara wa Oparesheni M4C Pamoja Daima jana.
0 Comments:
Post a Comment