PICHA: LOWASSA ALIVYORIPOTI POLISI LEO

Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA na Waziri Mkuu wa zamani,  Edward Lowassa jana June 26 2017 alipata wito kutoka kwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) kumtaka kufika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano. zikufikie taarifa kuwa Lowassa tayari amewasili Kituoni Hapo.  millardayo.com Content.









0 Comments:

Post a Comment