Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana June 26 2017 alipata wito kutoka kwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) kumtaka kufika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano. zikufikie taarifa kuwa Lowassa tayari amewasili Kituoni Hapo. millardayo.com Content.
Wawekezaji Wahimizwa Kuwekeza Viwanda vya Uchenjuaji Madini Singida
-
-Singida
Wawekezaji wa ndani na nje ya Mkoa wa Singida wamehimizwa kujitokeza
kuwekeza katika viwanda vya uchenjuaji na uongezaji thamani wa madini ili
ku...
1 hour ago
0 Comments:
Post a Comment