EXCLUSIVE VIDEO: NDESAMBURO AMESEMA HIKI KUFUATIA KUKAMATWA MEYA NA VIONGOZI WA DINI ARUSHA KWA KISA CHA FEDHA ZA RAMBIRAMBI AJALI YA LUCKY VINCENT, MWENYEWE KUTINGA ARUSHA

Mh. Philemon Ndesamburo 
Aliyekuwa Mbunge wa Moshi mjini (CHADEMA) leo amempa pole na kumtia moyo MEYA wa Jiji la ARUSHA Mh. Kalisti Lazaro kufuatia kumatwa kwake akiwa katika shughuli ya RAMBIRAMBI ya wafiwa wa ajali ya Lucky Vicent hivi karibuni.

PLAY VIDEO HAPA CHINI KUTOKA V.O.A TV 

Katika Operations hiyo ya jeshi la polisi walikamatwa pia Viongozi wa dini, baadhi ya wamiliki wa shule binafsi na uongozi wao TAMONGSCO  pamoja na Waandishi wa Habari.

Mbunge huyo wa zamani wa Moshi Mjini Amewapa pole Meya wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro,viongozi wa dini pamoja na wengine waliokamatwa katika tukio la utoaji rambi rambi,amesema nayeye atafika Arusha kuwapa pole wafiwa sambamba na kutoa rambi rambi yake moja kwa moja kwa wafiwa hao.

0 Comments:

Post a Comment