Mnyika anaendelea kutoa ushahidi wake mahakama ya Afrika Mashariki(EACJ) kwenye kesi ya kutaka tafsiri ya sheria kwenye uchaguzi wa wabunge wa eala kutoka bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Chama ambacho ni kambi rasmi imekosa uwakilishi pia anataka vijana wapate nafasi
Shauri limefunguliwa na Antony Komu aliyekuwa mgombea kupitia CDM 2012
Benki ya CRDB yaja na ‘Benki Kimpango Wako’ ikiahidi huduma bora zaidi kwa
wateja na wadau mwaka 2026
-
Baada ya ufanisi mkubwa wa biashara kwa mwaka 2025 uliochangia kupata faida
ya zaidi ya shilingi trilioni 1.04, Benki ya CRDB leo imezindua kampeni
yake...
11 minutes ago
0 Comments:
Post a Comment