PICHA ZOTE NA MATUKIO KUTOKA KARATU KWENYE ZIARA YA WAZAZI WALIOFIKWA NA MSIBA WA AJALI YA LUCKY VICENT KUONA ENEO AMBALO WATOTO WAO WALIPATA AJALI, BAADA YA KUFIKA ENEO HILO WAZAZI PAMOJA NA VIONGOZI WA SERIKALI WALIWASILI KATIKA SHULE YA TUMAINI JONIOR SHULE KWA AJILI YA KUWASABAHI WANAFUNZI WA SHULE HIYO AMBAO WALIOKUWA WAFANYE MTIHANI NA WENZAO WA LUCKY VICENT WALIOPATA AJALI

Meya wa Jiji la Arusha Mh. Kalisti Lazaro Pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Karatu DC Theresia Mahongo



 


Meya wa jiji la Arusha akisalimiana na mama Bayo Miongoni mwa Waanzilishi wa shule ya Tumaini Jonior School na Tumaini Senior School



Mkuu wa Wilaya Mh. Theresia Mahongo akiteta jambo na Mmiliki wa Shule ya Lucky Vicent 

Mkurugenzi wa Shule ya Tumaini Jonior Karatu akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Karatu Bi Theresia Mahongo


Mkuu wa Wilaya ya Karatu DC Theresia Mahongo, meya wa Arusha na maafisa wengine wa Serikali wakiwa katika eneo ambalo wajali ya Lucky Vicent ilitokea wilayani Karatu

Wazazi waliofiwa katika ajali ya Lucky Vicent wakiwa katika eneo la ajali ilipotokea Karatu









Mkuu wa wilaya ya Karatu Mh. Theresia Mahongo akiteta jambo na Diwani wa Kata ya Ngarenaro Doita Harry

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Bi. Theresia Mahongo , Meya wa jiji la Arusha Kalisti Lazaro  kwa pamoja wakiwasili Shule ya Tumaini junior Karatu. Picha ya VOA TV

Kutoka kulia Mkuu wa Wilaya ya Karatu Bi. Theresia Mahongo , Meya wa jiji la Arusha Kalisti Lazaro, na Diwani wa Ngarenaro Doita Harry


Wazazi waliofiwa ajali ya Lucky Vicent wakiwa katika eneo la Tumaini Jonior wakisikiliza Hotuba ya Mkuu wa wilaya .





Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mh. Theresia Mahongo akihutubia





Wanafunzi wa darasa la Saba katika shule ya Tumaini Jonior ambao walikuwa wafanye mtihani wa Joints na wanafunzi wa Lucky Vicent ambao walipata ajali






0 Comments:

Post a Comment