Sehemu ya hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe akifungua kikao cha siku mbili cha Kamati Kuu kilichoanza kuketi leo jijini Dar es Salaam.
Hotuba yake leo ilijikita katika suala la mchakato wa Katiba Mpya, tulipotoka, tulipo na tunakopaswa kwenda.
CAMARTEC YABUNI TEKNOLOJIA MPYA KUINUA SEKTA YA KILIMO NA UFUGAJI
-
Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC) kimeanzisha
mbinu mpya za mafunzo kwa wakulima kuhusu usindikaji wa mazao, ikiwemo
mwani korosho...
2 hours ago
0 Comments:
Post a Comment