RAIS, wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE na Mtawala wa Dubai Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum mara baada ya kuhutubia katika Maonesho ya Dubai Expo 2020 yanayoendelea katika Mji wa Dubai leo tarehe 26 Februari, 2022.
MBUNGE RITHA KABATI AIBUA CHANGAMOTO ZA MAKAZI YA ASKARI KILOLO, BARABARA
NA MIUNDOMBINU YA POLISI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Bungeni Dodoma
Mbunge wa Kilolo, Ritha Kabati ameibua changamoto mbalimbali zinazokabili
Wilaya ya Kilolo, akisisitiza kuw...
3 hours ago
0 Comments:
Post a Comment