RAIS, wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE na Mtawala wa Dubai Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum mara baada ya kuhutubia katika Maonesho ya Dubai Expo 2020 yanayoendelea katika Mji wa Dubai leo tarehe 26 Februari, 2022.
MAPACHA WATANO WAZALIWA MUHIMBILI; HOSPITALI KUGHARAMIA GHARAMA ZOTE ZA
MATIBABU
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeandika historia nyingine baada ya
jopo la madaktari bingwa na wataalamu wa afya kufanikisha salama uzazi wa
watoto ...
3 hours ago
0 Comments:
Post a Comment