Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli leo, (tarehe 8 Januari, 2021) ametembelea baadhi ya wafanyabiashara waliofika kuonesha bidhaa zao za sanaa mjini Chato wakati wa ziara ya siku mbili ya Waziri wa Mambo ya Nje wa China,Wang Yi.




No comments:
Post a Comment