(Move to ...)
About Us
Contact Us
Tangaza Nasi | Advertise here
▼
Wednesday, August 9, 2017
PICHA 7: Kutoka kwenye msiba wa Billionea Mrema, Lowassa Na Kinana walivyokutana..,Lema na mkewe...LIVE kutoka Hoteli ya Ngurudoto Arusha..
Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania Edward Lowassa na Aliyekua mgombea Urais 2015 kupitia CHADEMA akiteta jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdurahman Kinana.
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema akiwa na mkewe nao waliambatana kuuaga mwili wa Billionea Mrema.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment