Friday, June 2, 2017

UPDATES: PICHA 3 IPad za Kielektroniki walizokabidhiwa Rais JPM, Makamu wa Rais, na Rais wa Zanzibar.

Ni vifaa vya kisasa vyenye uwezo wa hali ya juu , IPad hizo zitawasaidia wakuu wa nchi kupokea Taarifa za mapato ya kila siku nchi nzima. 

Taarifa zote za mapato Tanzania Bara pamoja na mapato yote Zanzibar zitaonekan katika vifaa hivyo. 


No comments:

Post a Comment