Siku moja baada ya Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kupokea ripoti ya kamati ya kuchunguza makontena yaliyosadikika kusafrisha mchanga wa dhahabu nje ya nchi Mtendaji mkuu wa ACACIA atoa majibu jui ya tuhuma makontena ya dhahabu
Tazama hotuba ya Rais JPM na alichosema Jana.
Taarifa ya ACACIA Iliyotolewa rasmi leo.
Katika taatifa hiyo ACIA wamepinga ripoti ya kamati ya uchunguzi wa KONTENA za kupeleka mchanga wa dhahabu nje ya nchi.
Aidha mkurugenzi huyo amesema ujio wa taarifa hiyo unaweka bayana watu kuona kuwa ni nani wa mumuamini na nano mkweli.
-
Zikiwa zimesalia siku 29 kufikia Tanzania iingie kwenye Uchaguzi wa
Rais,wabunge na nafiwanMkuu wa mwkaa 2020 Time ya Uchaguzi umekutana na
wadau wa mbalim...
MONDULI MAASAI MARATHON YANOGA
-
MWANARIADHA Magdalena Shauri akipokea zawadi kutoka kwa mgeni rasmi kwa
niaba ya mkuu wa wilaya Monduli Meneja wa benki ya NMB Monduli Rebecca
Lobulu...
0 Comments:
Post a Comment