Raymond RayVanny msanii Wa WCB-Wasafi |
Laizer ni Produza mwenye uwezo mkubwa ukilinganisha na hali ya ya soko la muziki lilivyo ambayo hutegemea sana kazi nzuri toka kwa Maproduza wabunifu zaidi.
Leo Laizer amemtaja msanii anayemuekewa zaidi wakati wakifanya projects za production ya muziki katika Label ya WCB ya Diamond.
WCB Wasafi yenye wasanii 6 hafi hivi sasa imekuwa na sifa kubwa kwa kutengeneza wasanii na nyimbo Kali zinazokonga nyoyo za wengi. Wasanii wanaoiunda Label ya WCB Wasafi kwa sasa ni Queen Darleen, Harmonize, Rich Mavoko , Lava Lava , Raymond (RayVanny) na Diamond Platnumz a.k.a Simba
Produza Laizer amesema msanii Raymond (RayVanny) ndiye msanii ambaye ni Wa kipekee katika Label hiyo ambaye anaelewa jinsi Track Kali inavyokaa na mini Produza Laizer anataka.
Produza Laizer Wa Label ya WCB Wasafi |
Endelea kubaki nami ikiwa ni pamoja na kwenye Mitandao ya kijamii Facebook ,Twitter, Instagram, kote kwa jina la Habari Tanzania Grace Macha bila kusahau kutazama Latest Videos zote katika V.O.A TV YouTube.
No comments:
Post a Comment