Bunge limeendelea kujadili mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na bajeti ya ofisi ya Waziri mkuu kwa mwaka 2017/2018 ambapo baadhi ya wabunge walipata nafasi ya kusimama kuchangia, Mbunge wa Nkasi Kaskazini Ally Kessy alisimama na kulalamikia baadhi ya wasanii wanaoimba nyimbo za kumtukana Rais.
No comments:
Post a Comment