Bunge limeendelea kujadili mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na bajeti ya ofisi ya Waziri mkuu kwa mwaka 2017/2018 ambapo baadhi ya wabunge walipata nafasi ya kusimama kuchangia, Mbunge wa Nkasi Kaskazini Ally Kessy alisimama na kulalamikia baadhi ya wasanii wanaoimba nyimbo za kumtukana Rais.
VIJANA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA RAIS SAMIA, WATAJA FAIDA ZA UONGOZI
WAKE KWA MAENDELEO YA TAIFA
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv
VIJANA nchini wameungana kuadhimisha Siku ya Kumbukizi ya kuzaliwa Rais
Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakisema kuwa ni kiongozi m...
6 hours ago
0 Comments:
Post a Comment