CCJ yaibuka kidedea, Baada ya kutoa siku tisini (90) na kugeuka kuwa
miaka 90 ya kuwavua magamba Lowasa, Chenge, Rostam katibu
mwenezi wa CCM na Mwanzilishi wa CCJ akiwa na Samwel Sitta, Mwakyembe..
amekuja na njia mpya ni ya kuwasimamisha Lowasa, Membe, Wasira,
January Makamba, Ngereja na Fredreck Sumaye kuwania uongozi wowote ndani
ya CCM kwa muda wa mwaka mmoja (miezi 12) kwa hili CCJ ni washindi...



No comments:
Post a Comment