Vumbi likitimka baada ya vijana wa pikipiki kufanya mbwembwe wakati wakiingia kwenye viwanja vya soko la Mbauda unakofanyikia mkutano wa uzinduzi wa kampeni za udiwani
Baadhi ya viongozi wa chadema waliohudhuria mkutano wa ufunghuzi wa kampeni za chadema wakifuatilia mkutano
MWENYEKITI wa Chadema wilayani Arusha, Ephata Nanyaro akiongea na wananchi wa sombetini ambapo aliwaomba wamchague Bananga akiahidi kuwa atampa mbinu aliyotumia kuwezesha kata yake ya levelos ambayo yeye ni diwani kupata kilomita nyingi za barabara za lami

No comments:
Post a Comment